Waziri Mkuu ziarani Kyela: Baba umeona picha yako?


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa wakifurahia picha ya Waziri Mkuu waliyozadiwa na mchoraji wa picha hiyo Charles Vitusi Maembe, wakati Waziri Mkuu alipokagua gala la Kokoa na kuzungumza na wananchi katika kijiji cha Ipinda Wilayani Kyela Mkoani Mbeya Mei 12, 2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news