Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali shilingi trilioni 49.35 mwaka 2024/2025

DODOMA-Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha kwa kishindo Bajeti Kuu ya Serikali ya shilingi trilioni 49.35 kwa mwaka 2024/25, bungeni jijini Dodoma, ambapo katika zoezi la upigaji kura, Wabunge 362 wamepiga kura za ndio na wabunge 18 wamepiga kura za kutoamua.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news