Dkt.Mwinyi aongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar

ZANZIBAR-Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi leo Juni 24,2024 ameongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt.Mohammed Said Dimwa (kushoto kwa Rais) na Wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja jijini Zanzibar leo Juni 24,2024 kuongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar.(Picha na Ikulu).
Wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar, kabla ya kuaza kwa kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi.
Wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar, kabla ya kuaza kwa kikao hicho kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi.
Wajumbe wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja jijini Zanzibar wakati Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwasili katika ukumbi kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, kuongoza Kikao cha kawaida cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika leo,kulia kwa Rais ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohammed Said Dimwa.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza kikao cha kawaida cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja jijini Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza kikao cha kawaida cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja jijini Zanzibar.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza kikao cha kawaida cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika leo katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja jijini Zanzibar.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news