Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 15,2024

MWANZA-Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,Dkt.Yahaya Nawanda kufuatia tuhuma zinazomkabili za ulawiti wa mwanafunzi mmoja wa chuo kimoja jijini Mwanza.
Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Wilbroad Mutafungwa ameyabainisha hayo Juni 14,2024 wakati akizungumza na waandishi wa wahabari na kudhitibisha kukamatwa kwake na kueleza kuwa wanaendelea kumhoji.


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news