KAGERA- Mtoto Asimwe Novarti mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) aliyeibwa Mei 30 mwaka huu nyumbani kwao na watu wasiojulikana katika Kijiji cha Mbale, Muleba mkoani Kagera amekutwa ameuawa na mwili wake kufungwa kwenye sandarusi kabla ya kutelekezwa kwenye karavati.

.jpg)
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo