ARUSHA-Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Paul Makonda amemuagiza Mkuu wa Polisi wa Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha kutokamata magari ya utalii kwenye mkoa huo na badala yake ukaguzi kwa watalii ufanyike kwenye mipaka na kwenye viwanja vya ndege vinavyotumika na watalii ili kuepusha usumbufu.


Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo