Jambo muhimu kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii katika Kampasi ya Kisangara wilayani Mwanga,Kilimanjaro

Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW) kinakaribisha maombi ya kujiunga na tahasusi zifuatazo zitakazotolewa katika mwaka wa masomo 2024/2025 katika Kampasi za Dar es Salaam na Kisangara, Mwanga, Kilimanjaro.

Basic Technician Certificate
1. Social Work (Both Campuses)
2. Business Administration
3. Labour Relations and Public Management
4. Human Resource Management
5. Community Work with Children and Youth
6. Early Childhood Care and Development (Kisangara Campus)

Ordinary Diploma
1. Social Work (Both Campuses)
2. Business Administration
3. Labour Relations and Public Management
4. Human Resource Management
5. Community Work with Children and Youths
6. Early Childhood Care and Development (Kisangara Campus)

Fanya maombi kupitia Mfumo wa maombi ya mtandao (OAS) kiungo: oas.isw.ac.tz au kupitia tovuti ya Taasisi www.isw.ac.tzna ulipe ada isiyoweza kurejeshwa ya Tshs. 10,000/= kwa Watanzania au USD 30.00 kwa wasio Watanzania.

Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea tovuti ya Taasisi www.isw.ac.tz au Piga simu: 0677 111200, 0716121096(Kisangara) au 0735509090.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news