DODOMA-Ujenzi wa Jengo la ofisi ya Wizara ya Madini katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma umefikia asilimia 82 na unatarajiwa kukamilika mwezi Septemba, 2024.


Aidha, Mbwilo amemtaka mkandarasi kutosita kuwasiliana na Wizara pale wanapokumbana na changamoto yeyote ili kuondoa vikwazo vinavyoweza kuchelewesha kukamilika kwa mradi huo.