VIDEO:Dondoo,majibu ya Wizara ya Nishati wakati wa Mkutano wa 15 wa Bunge

DODOMA-"Gharama za kuunganisha umeme maeneo ya vijijini katika njia moja ni shilingi 27,000 na mijini shilingi 320,960 kwa kipindi cha nyuma kwa miradi ya vijijini yaani REA ilikuwa inatoza shilingi 27,000 na TANESCO shilingi 177,000.
"Kutokana na malalamiko ya wananchi ya bei tofauti kati ya REA na TANESCO ya kuunganishwa umeme vijijini, Serikali iliiamuru TANESCO kushusha bei na kuwa shilingi 27,000 kama REA na tofauti ililipwa na Serikali,"Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Judith Kapinga katika Mkutano wa 25 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news