Waziri Mkuu aongoza Kikao cha 11 cha Kamati ya Sensa

DAR-Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameongoza Kikao cha 11 cha Kamati ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akiongoza Kikao cha Kumi na Moja cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 kilichofanyika tarehe 09 Juni, 2024 Ukumbi wa Mikutano wa JNCC Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akiteta jambo na Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa wakati wa Kikao cha Kumi na Moja cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 kilichofanyika tarehe 09 Juni, 2024 Ukumbi wa Mikutano wa JNCC Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar, Salum Kassim Ali na kulia ni Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Balozi Mohamed Haji Hamza.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi wakati wa Kikao cha Kumi na Moja cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 kilichofanyika tarehe 09 Juni, 2024 Ukumbi wa Mikutano wa JNCC Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akimsikiliza Waziri wa Fedha Zanzibar, Mhe. Dkt. Saada Mkuya wakati wa Kikao cha Kumi na Moja cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 kilichofanyika tarehe 09 Juni, 2024 Ukumbi wa Mikutano wa JNCC Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),Dkt. Jim Yonazi akitambulisha wajumbe wakati wa Kikao cha Kumi na Moja cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 kilichofanyika tarehe 9 Juni, 2024 Ukumbi wa Mikutano wa JNCC Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe wa Kikao cha Kumi na Moja cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022 wakifuatilia kikao hicho.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe.Profesa Adolf Mkenda akizungumza na baadhi wa Kikao cha Kumi na Moja cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi 2022, Jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news