Waziri Mkuu katika Tuzo za Wanamichezo Bora 2024


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili kwenye ukumbi wa ‘The Super Dom’ ambapo atakuwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya Tuzo za Pili (2) za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kwa Wanamichezo Bora wa Mwaka 2024.

📍Masaki-Dar es Salaam

🗓️Juni 09, 2024

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news