Wizara ya Fedha yapewa cheti maalumu kwa kuhabarisha umma kikamilifu


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb), akimkabidhi cheti maalumu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja, kwa kuwa miongoni mwa wizara 10 zilizofanya kazi iliyotukuka ya kuhabarisha umma kuhusu, sera, programu, mipango, mikakati na matukio katika Wizara yake kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, Tukio alilolifanya kwa niaba ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tazania, wakati akifunga Rasmi Kikao kazi cha 19 cha Maafisa Habari wa Serikali, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news