Dkt.Yonazi aongoza kikao cha kamati ya usimamizi AFDP

DODOMA-Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),Dkt. Jim Yonazi leo Julai 16,2024 jijini Dodoma ameongoza Kikao cha Kamati ya Usimamizi cha Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP).
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akiongoza Kikao cha Kamati ya Usimamizi cha Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kilichohusisha Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na Wataalam wa Wizara na Taasisi zinazotekeleza programu hiyo leo Julai 16, 2024 jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi akiongoza Kikao cha Kamati ya Usimamizi cha Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kilichohusisha Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na Wataalam wa Wizara na Taasisi zinazotekeleza programu hiyo leo Julai 16, 2024 jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia hoja wakati wa Kikao cha Kamati ya Usimamizi cha Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kilichohusisha Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na Wataalam wa Wizara na Taasisi zinazotekeleza Programu ya AFDP.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu),Bw. Anderson Mutatembwa (kulia) akichangia jambo wakati wa Kikao cha Kamati ya Usimamizi cha Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kilichohusisha Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na Wataalam wa Wizara na Taasisi zinazotekeleza programu hiyo.
Mratibu wa Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Bw. Salimu Mwinjaka akifafanua jambo wakati wa Kikao cha Kamati ya Usimamizi cha Programu ya Kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) kilichohusisha Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi na Wataalam wa Wizara na Taasisi zinazotekeleza Programu hiyo kilichofanyika leo Julai 16,2024 jijini Dodoma.(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news