Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 2,2024

DAR ES SALAAM-Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari za treni ya reli ya kisasa (SGR) kati ya Dar es Salaam na Morogoro ambapo kuanzia Julai 5, abiria wataanza kutumia treni ya haraka (express) isiyosimama vituo vya kati.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai Mosi,2024 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kupitia TRC, Jamila Mbarouk ambayo imeeleza, TRC itaendelea kuongeza safari za kwenda na kutoka Dar es Salaam na Morogoro.
















Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news