HAZINA TV:Ukiwekeza katika Dhamana za Serikali fedha ni uhakika

DAR-"Pale Benki Kuu ya Tanzania tumejifunza sana jinsi ambavyo unaweza kuwekeza katika Dhamana za Serikali na unajua, watu wengi wanaofanya kazi au wafanyabiashara hawajui kama unaweza kuwekeza pia katika Dhamana za Serikali.
"Kwa hiyo pale tumeona kuna elimu nzuri sana na watu wanaweza kuwekeza kwenye Dhamana za Serikali na wakapata hela bila matatizo. Kwa hiyo, Benki Kuu ukiangalia wanahakikisha kuwa, wanatekeleza zile Sera za Fedha na wakati ninaongea na Gavana inaonesha hata mifumuko ya bei imepungua," ameeleza Naibu Katibu Mkuu Huduma za Hazina Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, alipotembelea Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa, Temeke, jijini Dar es Salaam na kufanya mahojiano na Hazina TV.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news