DAR-Viongozi wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) wameipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na Taasisi zake kwa kuendelea kuelimisha na kuhabarisha wananchi na wadau juu ya masuala mbalimbali yanayotekelezwa na ofisi hiyo ikiwemo masuala ya Kazi, Maendeleo ya Vijana, Ajira na Ukuzaji Ujuzi.


Aidha, viongozi hao wametembezwa na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa na ofisi hiyo.
Tags
Habari
Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT)
Maonesho ya 48 ya Biashara ya Sabasaba
Ofisi ya Waziri Mkuu