Kamanda Muliro ajionea namna wataalamu wa BoT wanavyotoa elimu kwa wananchi Maonesho ya Sabasaba


Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, ametembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwenye Maonesho ya Sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere kuanzia tarehe 28 Juni hadi 13 Julai 2024. Katika ziara yake amejionea namna wataalamu wa Benki Kuu wanatoa elimu kwa wananchi wanaotembelea banda letu kuhusu kazi za BoT.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news