MOROGORO-Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka amesema, dereva na msaidizi wake wa lori la mizigo lililoteketea kwa moto baada ya kupata ajali likiwa linaelekea Burundi usiku wa kuamkia Julai 10,2024 eneo la Kwambe-Dumila wilayani humo wamefariki.


Lori hilo liligongana na gari dogo aina ya Harrier lenye namba za usajili T.593 DVA katika barabara kuu ya Morogoro-Dodoma na kisha lori likatumbukia kwenye korongo ambapo juzi usiku DC Shaka alifika eneo la tukio.



.jpeg)

Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo