LINDI-Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Lindi, Zainab Lipalapi na baadhi ya viongozi na wanachama wengine 45 mkoani humo wamejiunga na chama cha ACT Wazalendo huku wakisisitiza hilo ndio jukwaa sahihi.


Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo