Magazeti leo Julai 31,2024

ARUSHA-Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela, Mhe. Balozi Maimuna Kibenga Tarishi ametoa wito kwa watumishi wa taasisi hiyo kufanya kazi kwa ushirikiano na umakini kwa kuzingatia dira na dhamira ya kuanzishwa kwake ili kwa pamoja kutumia fursa zilizopo katika kutatua changamoto mbalimbali.
Mhe. Balozi Maimuna ameyasema hayo Julai 30, 2024 wakati wa kikao na watumishi wa taasisi hiyo, ikiwa ni ziara yake ya kwanza ya kikazi tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan mnamo Mei 15, 2024.






Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news