
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimsikiliza Afisa Uhusiano Mwandamizi wa EWURA, Bi. Asiatu Msuya alipotembelea banda la Ofisi hiyo kwenye Maonesho ya SabaSaba jijini Dar es Salaam.
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akimsikiliza Afisa Uhusiano Mwandamizi wa EWURA, Bi. Asiatu Msuya alipotembelea banda la Ofisi hiyo kwenye Maonesho ya SabaSaba jijini Dar es Salaam.
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akipokea zawadi ya jarida na vipeperushi kutoka kwa Afisa Uhusiano Mwandamizi wa EWURA, Bi. Asiatu Msuya baada ya kutembelea banda la Ofisi hiyo kwenye Maonesho ya SabaSaba jijini Dar es Salaam.
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali, Bi. Alice Mtulo akitazama moja ya bidhaa inayopatikana ndani ya banda la Zanzibar alipotembelea banda hilo kwenye Maonesho ya SabaSaba ya jijini Dar es Salaam.

Tags
Habari
Maonesho ya 48 ya Biashara ya Sabasaba
Msaada wa Kisheria
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali