DODOMA-Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imezishukuru taasisi mbalimbali ikiwemo Wizara ya Katiba na Sheria, Chama cha Mawakili wa Serikali, Wizara ya Ardhi, Tume ya Utumishi wa Walimu, Uhamiaji na taasisi zingine za Serikali kwa kujitokeza na kuwahudumia wananchi wakati wa uendeshaji wa Kliniki ya Sheria.
Ni iliyolenga kutoa msaada wa kisheria bure kwa wananchi na kufanya utatuzi wa migogoro mbalimbali kuanzia Juni 26 hadi Julai 3, 2024 katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma.

Aidha, alisema katika kliniki zitakazofuata hapo baadae , wananchi watafuatwa katika maeneo yao ili kuwafikia wanachi wengi zaidi na kupunguza adha kwa wananchi kuifuata huduma ilipo. Tazama video chini;