ZANZIBAR-Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji,Mhe. Phaustine Kasike amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Bw. Saleh Saad Muhammed.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Maputo,Msumbiji.
Aidha, Bw. Muhammed aliuomba Ubalozi kuunganisha ofisi yake na taasisi zinazohusika na Uwekezaji nchini Msumbiji ili kuanzisha ushirikiano kwa maslahi ya nchi zetu.


Tags
Embassy of Tanzania in Msumbiji
Foreign Tanzania
Habari
Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA)