BoT yawapa wasanii Kusini Unguja mafunzo

ZANZIBAR-Benki Kuu ya Tanzania imeendesha mafunzo kwa wasanii wa Mkoa wa Kusini Unguja pamoja na wakufunzi wa sanaa wanaoshiriki katika Tamasha la Kizimkazi visiwani Zanzibar.
Mafunzo hayo yamelenga kuwapa uelewa juu ya majukumu ya Benki Kuu, ikiwa ni pamoja na utambuzi wa alama za usalama zilizopo kwenye noti za Tanzania.
Pia, mafunzo hayo yamewapa washiriki ujuzi wa namna bora ya kuhifadhi noti na sarafu ili kuongeza muda wa matumizi yake.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news