CGP Katungu asisitiza nidhamu kazini

DODOMA-Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP) Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa, Askari na Watumishi wasio Askari wa Jeshi la Magereza Nchini, kufanya kazi kwa Kuzingatia Sheria Kanuni Taratibu na kudumisha nidhamu na ushirikiano mahala pa kazi.
Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Magereza (CGP) Mzee Ramadhani Nyamka (kulia) akimkabidhi CGP. Jeremiah Katungu Hati ya Makabidhiano ya Ofisi ya Kamishna Jenerali wa Magereza, Agosti 5, 2024 wakati wa hafla fupi iliyofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza Dodoma.
CGP. Katungu ameyasema hayo Agosti 05, 2024 wakati akizungumza na Maafisa, Askari na Watumishi wasio Askari mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Jeshi ikiwa ni mara ya kwanza tangu alipoteuliwa na kuapishwa kuliongoza Jeshi la Magereza Tanzania Bara.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news