ARUSHA-Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) imeshiriki mkutano wa Jumuiya ya Wataalamu wa Tiba kwa Waraibu wa Dawa za Kulevya kwa nchi za Afrika uliofanyika jijini Arusha Agosti 21 na Agosti 22,2024.

Aidha, mkutano huo umetoa fursa ya wataalam kubadilishana uzoefu, kushirikishana matokeo ya tafiti mbalimbali za tiba kwa waraibu pamoja na kutoa fursa ya mafunzo kwa wataalamu wa tiba kwa waraibu.
Tags
DCEA
DCEA Tanzania
Habari
Kataa Dawa za Kulevya na Timiza Ndoto Zako
Kimataifa
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA)