DCEA yatoa elimu madhara ya dawa za kulevya shule mbalimbali Mtwara

MTWARA-Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) Kanda ya Pwani imetoa elimu ya madhara ya dawa za kulevya katika shule za sekondari na msingi mkoani Mtwara.
Shule zilizofikiwa ni Lukuledi, Chiwale, Nangaya, Mtandi, Chanikangu, Ndanda, Nanyindwa, Mrawishi, Njenga, Lukuledi, Chiwale, Ufukoni na Lilala.
Pamoja na elimu hiyo washiriki wote wamehimizwa kutojihusisha na matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya ili kuwa na jamii isiyojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Katika hatua nyingine, walimu wa shule hizo kwa ujumla wameishukuru Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa Kulevya nchini (DCEA) kwa elimu hiyo na kuomba iwe endelevu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news