Exchange Rates:Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Agosti 14,2024

NA GODFREY NNKO

LEO Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 20.78 na kuuzwa kwa shilingi 20.83 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 1.43 na kuuzwa kwa shilingi 1.54.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Agosti 14, 2024 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.69 na kuuzwa kwa shilingi 0.72 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 0.92 na kuuzwa kwa shilingi 0.93.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2665.60 na kuuzwa kwa shilingi 2692.26 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 8709.13 na kuuzwa kwa shilingi 8793.35.

Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 3413.30 na kuuzwa kwa shilingi 3447.71 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.01 na kuuzwa kwa shilingi 2.05.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1941.73 na kuuzwa kwa shilingi 1960.57 huku Fraka Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 3075.22 na kuuzwa kwa shilingi 3105.62.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 253.19 na kuuzwa kwa shilingi 255.62 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 147.08 na kuuzwa kwa shilingi 148.51.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 725.79 na kuuzwa kwa shilingi 732.93 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 171.05 na kuuzwa kwa shilingi 172.57.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.49 na kuuzwa kwa shilingi 0.51 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2915.90 na kuuzwa kwa shilingi 2945.33.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1759.83 na kuuzwa kwa shilingi 1777.69 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3556.21 na kuuzwa kwa shilingi 3691.77.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today August 14th,2024;
S/NOCurrencyBuyingSellingMeanTransaction Date
1AED725.7886732.9268729.357714-Aug-24
2ATS171.0519172.5675171.809714-Aug-24
3AUD1759.83171777.69931768.765514-Aug-24
4BEF58.347558.863958.605714-Aug-24
5BIF0.92040.92890.924714-Aug-24
6BWP197.5213200.0349198.778114-Aug-24
7CAD1941.72781960.57381951.150814-Aug-24
8CHF3075.22383105.61773090.420714-Aug-24
9CNY372.2547375.8722374.063414-Aug-24
10CUC111.0668112.1775111.622214-Aug-24
11DEM1068.07871214.0971141.087814-Aug-24
12DKK390.7823394.6727392.727514-Aug-24
13DZD19.910519.897919.904214-Aug-24
14ESP14.146414.271214.208814-Aug-24
15EUR2915.90422945.33242930.618314-Aug-24
16FIM395.8661399.374397.6214-Aug-24
17FRF358.8251361.9991360.412114-Aug-24
18GBP3413.30593447.70823430.50714-Aug-24
19HKD342.2223345.6224343.922314-Aug-24
20INR31.76432.060631.912314-Aug-24
21IQD2.03642.05362.04514-Aug-24
22IRR0.06350.06410.063814-Aug-24
23ITL1.21561.22641.22114-Aug-24
24JPY18.092718.272418.182614-Aug-24
25KES20.784420.829920.807214-Aug-24
26KRW1.9481.96641.957214-Aug-24
27KWD8709.13188793.35018751.240914-Aug-24
28MWK1.42831.53761.482914-Aug-24
29MYR599.551604.3232601.937114-Aug-24
30MZM41.365741.714641.540114-Aug-24
31NAD147.0613148.5196147.790514-Aug-24
32NGN1.73091.64161.686314-Aug-24
33NLG1068.07871077.55051072.814614-Aug-24
34NOK247.3741249.7759248.57514-Aug-24
35NZD1612.42381628.81731620.620614-Aug-24
36PKR9.08959.65669.37314-Aug-24
37QAR731.2039738.111734.657514-Aug-24
38RWF2.00962.05582.032714-Aug-24
39SAR710.0703717.0564713.563414-Aug-24
40SDR3556.20893591.7713573.989914-Aug-24
41SEK253.1895255.6728254.431114-Aug-24
42SGD2017.41012037.432027.4214-Aug-24
43TRY79.880380.120880.000514-Aug-24
44UGX0.68660.72140.70414-Aug-24
45USD2665.6042692.262678.93214-Aug-24
46GOLD6586760.69826654001.35786620381.02814-Aug-24
47ZAR147.08148.5139147.796914-Aug-24
48ZMK99.0665102.9545101.010514-Aug-24
49ZWD0.49880.50890.503914-Aug-24

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news