Ni ushamba kugombana kisa uchaguzi-Waziri Dkt.Nchemba

GEITA-Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amewaasa wananchi kuacha kugombana kwa sababu za siasa kwani kitendo hicho kinasababisha maafa, yatima, wajane na kukosekana kwa amani.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista mjini Katoro mkoani Geita kwenye kilele cha makambi.

Dkt.Nchemba ameyasema hayo kwenye kilele cha Makambi alipokuwa akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista (Wasababato) Mjini Katoro mkoani Geita.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista mjini Katoro mkoani Geita kwenye kilele cha makambi.
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Waadventista mjini Katoro mkoani Geita wakimsikiliza Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (hayupo pichani) wakati akizungumza nao kwenye kilele cha makambi.
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Waadventista mjini Katoro mkoani Geita wakimsikiliza Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (hayupo pichani) wakati akizungumza nao kwenye kilele cha makambi.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista mjini Katoro mkoani Geita kwenye kilele cha makambi.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akizungumza na waumini wa Kanisa la Waadventista mjini Katoro mkoani Geita kwenye kilele cha makambi.
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Waadventista mjini Katoro mkoani Geita wakimsikiliza Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (hayupo pichani) wakati akizungumza nao kwenye kilele cha makambi.

Dkt.Nchemba, amewaasa waumini hao kuepuka kujihusisha na siasa za fujo na vurugu kwasababu zinaleta madhara makubwa kwa familia moja moja na nchi kwa ujumla hivyo kuathiri uchumi, umoja na mshikamano wa Taifa.

Aidha, Dkt.Nchemba amewataka waumini hao kuendelea kumwombea Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ili aendeleze kudumisha maelewano, mshikamano na kusikilizana ambazo ndio zimekuwa falsafa zake tangu aingie madarakani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news