DODOMA-Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeshiriki kikao cha kuwasilishwa kwa Miswada ya Sheria.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Pindi Chana akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Feleshi katika kikao hicho cha kuwasilishwa kwa Miswada ya Sheria leo Agosti 14,2024 jijini Dodoma.

Kikao hicho cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria kimefanyika tarehe 14 Agosti 2024 Bungeni Jijini Dodoma.
Tags
Habari
Kamati ya Bunge
Miswada ya Sheria
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Wizara ya Katiba na Sheria