Rais Dkt.Samia awasili Rwanda katika uapisho wa Rais mteule Paul Kagame

KIGALI-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali nchini Rwanda,tayari kwa kuhudhuria sherehe za uapisho wa Rais mteule wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame leo Agosti 11, 2024.
Rais Dkt.Samia akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali nchini Rwanda,tayari kwa kuhudhuria sherehe za uapisho wa Rais mteule wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame leo Agosti 11, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan akiongozana na mwenyeji wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Rwanda,Mhe.Judith Uwizeye baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali nchini Rwanda,tayari kwa kuhudhuria sherehe za uapisho wa Rais mteule wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame leo Agosti 11, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan akiongozana na mwenyeji wake Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Rwanda,Mhe.Judith Uwizeye baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali nchini Rwanda,tayari kwa kuhudhuria sherehe za uapisho wa Rais mteule wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame leo Agosti 11, 2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news