Rais wa TLS,Wakili Boniface Mwabukusi aapishwa

DODOMA-Rais mpya wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS, Boniface Mwambukusi ameapishwa rasmi kuongoza chama hicho kwa miaka mitatu ijayo.
Wakili Mwandamizi, Dkt. Mkunga Humphrey Mtingele akimuapisha Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais mpya wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) katika ukumbi wa Jakaya Convention Center jijini Dodoma Agosti 3,2024.
Mwabukusi alitangazwa mshindi wa kiti hicho na Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mawakili Agosti 2,2024 kwa kupata kura 1,274 ambazo ni sawa na asilimia 63.1 dhidi ya washindani wake Sweetbert Nkuba, Revocutus Kuuli, Ibrahim Bendera, Paul Kaunda na Emmanuel Muga katika uchaguzi ambao kwa mara ya kwanza umefanyika nje ya Jiji la Arusha

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news