Taarifa ya thamani ya mifuko ya uwekezaji Julai 31,2024

DAR-Taarifa ya thamani ya mifuko ya uwekezaji Julai 31,2024. Taarifa hii hutolewa kila siku kupitia tovuti ya www.uttamis.co.tz
🔻Kupitia taarifa hii utafahamu yafutayo;

🔶Thamani ya mfuko ;
Ni kiasi cha pesa kilichowekezwa katika mfuko husika.( Fund size)

🔶Thamani ya kipande ;
Inaonyesha bei halisi ya kipande (Current unit price) kwa mfuko husika

🔶Bei ya kununua;
Ni bei halisi ambayo mwekezaji atanunua vipande kutoka UTT AMIS kwa wakati husika pindi anapowekeza pesa zake

🔶Bei ya kuuza;
Ni bei halisi ya ambayo mwekezaji atauza vipande vyake wakati husika pindi anapotoa pesa zake kutoka katika akaunti yake
ya uwekezaji

✳️Kumbuka👇
Thamani ya kipande hubadilika kulingana hali ya masoko.

✳️Mwekezaji atakuwa ananunua vipande kutoka UTT AMIS pindi anapowekeza pesa zake na;

✳️Mwekezaji atakuwa anamuuzia vipande UTT AMIS pindi anapotoa pesa zake

🤷‍♂️Sasa unaweza kutoa pesa chini 2,000,000/- kupitia huduma ya SimInvest. Bonyeza *150*82# kisha fuata maelekezo

Au:
📞Tupigie bure kwa namba:
0800 112020 kwa taarifa zaidi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news