Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) wafikia asilimia 90

MWANZA- Hatimaye zimesalia asilimia 10 kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) la kilomita 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara-Sengerema-Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya kilomita 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.
Muonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) kilomita 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara-Sengerema-Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilomita 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.
Muonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) kilomita 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara-Sengerema-Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilomita 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.
Muonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) kilomita 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara-Sengerema-Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilomita 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.
Muonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) kilomita 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara-Sengerema-Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilomita 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.
Muonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo-Busisi) kilomita 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara-Sengerema-Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilomita 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.

Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa shilingi Bilioni 716.3 zikijumuisha Malipo ya Mkandarasi, Mhandisi Mshauri wa usimamizi wa mradi, fidia na usanifu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news