Waandikishaji wasaidizi na waendesha vifaa vya bayometriki Kishapu wala kiapo

SHINYANGA-Washiriki wa mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki wa Tarafa ya Kishapu yenye kata 11 wamekula kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri wakati wa mafunzo yaliyofanyika Agosti 18, 2024 katika ukumbi wa Kishapu Sekondari iliyopo Halmashauri ya Kishapu mkoani Shinyanga.
Washiriki wa mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki wa Tarafa ya Kishapu yenye kata 11 wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri.
Washiriki wa mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki wa Tarafa ya Kishapu yenye kata 11 wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri.
Washiriki wa mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki wa Tarafa ya Kishapu yenye kata 11 wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri.
Washiriki wa mafunzo ya Waandikishaji Wasaidizi na Waendesha vifaa vya Bayometriki wa Tarafa ya Kishapu yenye kata 11 wakila kiapo cha kujitoa uanachama wa chama cha siasa na kutunza siri.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news