Waziri Ridhiwani Kikwete akutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF

DODOMA-Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Mwamini Maalemi na baadhi ya watendaji wa mfuko huo walipomtembelea jijini Dodoma, Agosti 13, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Mwamini Maalemi na baadhi ya watendaji wa mfuko huo walipomtembelea jijini Dodoma, Agosti 13, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Mwamini Maalemi na baadhi ya watendaji wa mfuko huo walipomtembelea jijini Dodoma, Agosti 13, 2024.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bi. Mwamini Maalemi akimweleza jambo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete ni baada ya yeye na watendaji wa mfuko huo kumtembelea Mheshimiwa Waziri jijini Dodoma, Agosti 13, 2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news