Waziri Ridhiwani Kikwete atoa taarifa kwa Kamati ya Bunge kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Hifadhi ya Jamii mwaka 2024

DODOMA-Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete ametoa taarifa kwa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kuhusu muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Hifadhi ya Jamii Mwaka 2024, Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 14 Agosti, 2024.
Aidha, katika kikao hicho ameshiriki pia Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi, Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Mary Maganga pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Zuhura Yunus.
Viongozi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu pamoja na watendaji wa mifuko hiyo wakifuatilia maelezo ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya kupokea taarifa ya muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii mwaka 2024, Bungeni, Jijini Dodoma.
Viongozi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu pamoja na watendaji wa mifuko hiyo wakifuatilia maelezo ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya kupokea taarifa ya muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii mwaka 2024, Bungeni, Jijini Dodoma.
Viongozi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu pamoja na watendaji wa mifuko hiyo wakifuatilia maelezo ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya kupokea taarifa ya muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii mwaka 2024, Bungeni, Jijini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Khadija Taya akichangia jambo wakati wa kikao cha kupokea taarifa ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Hifadhi ya Jamii Mwaka 2024, kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma leo Agosti 14, 2024.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Fatuma Toufiq (kushoto) akiongoza kikao cha kamati hiyo kupokea taarifa ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Hifadhi ya Jamii Mwaka 2024, Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 14 Agosti, 2024. Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Bi. Rehema Kipera.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Fatuma Toufiq (kushoto) akiongoza kikao cha kamati hiyo kupokea taarifa ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria za Hifadhi ya Jamii Mwaka 2024, Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 14 Agosti, 2024. Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Bi. Rehema Kipera.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa taarifa kwa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kuhusu muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Hifadhi ya Jamii Mwaka 2024, Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 14 Agosti, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa taarifa kwa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kuhusu muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Hifadhi ya Jamii Mwaka 2024, Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 14 Agosti, 2024.
Viongozi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, Watendaji wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu pamoja na watendaji wa mifuko hiyo wakifuatilia maelezo ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya kupokea taarifa ya muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii mwaka 2024, Bungeni, Jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akifuatilia maelezo ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya kupokea taarifa ya muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii mwaka 2024, Bungeni, Jijini Dodoma Agosti 14, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akifuatilia maelezo ya wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii mara baada ya kupokea taarifa ya muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii mwaka 2024, Bungeni, Jijini Dodoma Agosti 14, 2024.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa kuhusu muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya hifadhi ya jamii mwaka 2024, bungeni leo tarehe 14 Agosti, 2024, jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa kuhusu muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya hifadhi ya jamii mwaka 2024, bungeni leo tarehe 14 Agosti, 2024, jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa kuhusu muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya hifadhi ya jamii mwaka 2024, bungeni leo tarehe 14 Agosti, 2024, jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa kuhusu muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya hifadhi ya jamii mwaka 2024, bungeni leo tarehe 14 Agosti, 2024, jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii wakifuatilia maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete (hayupo pichani) wakati akiwasilisha taarifa kuhusu muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria ya hifadhi ya jamii mwaka 2024, bungeni leo tarehe 14 Agosti, 2024, jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa taarifa kwa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii kuhusu muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Hifadhi ya Jamii Mwaka 2024, Bungeni jijini Dodoma leo tarehe 14 Agosti, 2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news