Waziri Ridhiwani Kikwete katika Siku ya Vijana Kimataifa jijini Dodoma


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete alipowasili katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma leo Agosti 12, 2024 ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanaadhimisha Siku ya Vijana Kimataifa.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akivalishwa skafu na kijana wa skauti alipowasili katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma leo Agosti 12, 2024 ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanaadhimisha Siku ya Vijana Kimataifa. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Ofisi ya Waziri, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo ya Vijana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akivalishwa skafu na kijana wa skauti alipowasili katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma leo Agosti 12, 2024 ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanaadhimisha Siku ya Vijana Kimataifa.Maadhimisho hayo yameandaliwa na Ofisi ya Waziri, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo ya Vijana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akiingia katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma, kushiriki katika maadhimisho ya siku ya vijana kimataifa ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanahadhimisha Siku hiyo leo Agosti 12, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akiingia katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma, kushiriki katika maadhimisho ya siku ya vijana kimataifa ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanahadhimisha Siku hiyo leo Agosti 12, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akiingia katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma, kushiriki katika maadhimisho ya siku ya vijana kimataifa ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanahadhimisha Siku hiyo leo Agosti 12, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akiingia katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma, kushiriki katika maadhimisho ya siku ya vijana kimataifa ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanahadhimisha Siku hiyo leo Agosti 12, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center Jijini Dodoma, kushiriki katika maadhimisho ya siku ya vijana kimataifa ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanaadhimisha siku hiyo leo Agosti 12, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete cheza pamoja na vijana wakati Msanii wa Singeli, Barobaro akitoa burudani katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanaadhimisha Siku ya Vijana Kimataifa leo Agosti 12, 2024.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete cheza pamoja na vijana wakati Msanii wa Singeli, Barobaro akitoa burudani katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center ambapo vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini wanaadhimisha Siku ya Vijana Kimataifa leo Agosti 12, 2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news