Waziri wa Fedha,Dkt.Nchemba azuru kaburi la hayati Rais Dkt.Magufuli

GEITA- Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) leo Agosti 12, 2024 amezuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Tano, hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wilayani Chato mkoani Geita.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akitoa salamu za heshima baada ya kuzuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Tano, hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wilayani Chato mkoani Geita leo Agosti 12,2024.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akisaini kitabu cha wageni baada ya kuzuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Tano, hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wilayani Chato mkoani Geita leo Agosti 12,2024.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akitoa salamu za heshima baada ya kuzuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Tano, hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wilayani Chato mkoani Geita leo Agosti 12,2024.
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) akiweka shade la maua baada ya kuzuru kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Serikali ya Awamu ya Tano, hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wilayani Chato mkoani Geita leo Agosti 12,2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news