MOROGORO-Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetoa elimu ya dawa za kulevya mkoani Morogoro hususan katika wilaya za Mahenge, Malinyi, na Mvomero kwa wanafunzi na walimu kutoka shule za sekondari za Kasita, Nawenge, Kwiro, Usangule, Don Bosco, na Mzumbe.


Aidha, katika kuhakikisha elimu sahihi inatolewa katika jamii hiyo, DCEA imetoa miongozo maalum kwa walimu na walezi wa klabu za Kupambana na rushwa na dawa za kulevya vya katika shule hizo ili kuwasaidia kutoa elimu kuhusu kusudiwa kwa usahihi.
Tags
DCEA
DCEA Tanzania
Habari
Kataa Dawa za Kulevya na Timiza Ndoto Zako
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA)