Exchange Rates:Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 19,2024

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 3537.79 na kuuzwa kwa shilingi 3573.45 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 1.98 na kuuzwa kwa shilingi 2.04.
Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 19, 2024 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1970.49 na kuuzwa kwa shilingi 1990.05 huku Fraka Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 3171.55 na kuuzwa kwa shilingi 3202.89.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 262.76 na kuuzwa kwa shilingi 265.34 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 152.21 na kuuzwa kwa shilingi 153.69.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 728.90 na kuuzwa kwa shilingi 736.11 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 171.79 na kuuzwa kwa shilingi 173.31.

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.50 na kuuzwa kwa shilingi 0.51 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2976.94 na kuuzwa kwa shilingi 3006.98.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1813.74 na kuuzwa kwa shilingi 1833.23 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3618.73 na kuuzwa kwa shilingi 3654.91.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 20.83 na kuuzwa kwa shilingi 20.88 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 1.43 na kuuzwa kwa shilingi 1.54.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.69 na kuuzwa kwa shilingi 0.73 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 0.92 na kuuzwa kwa shilingi 0.93.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2677.11 na kuuzwa kwa shilingi 2703.88 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 8781.44 na kuuzwa kwa shilingi 8866.34.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 19th,2024;
S/NOCurrencyBuyingSellingMeanTransaction Date
1AED728.9014736.1102732.505819-Sep-24
2ATS171.7901173.3123172.551219-Sep-24
3AUD1813.74131833.23061823.48619-Sep-24
4BEF58.599359.11858.858619-Sep-24
5BIF0.92040.92520.922819-Sep-24
6BWP202.1217204.6837203.402719-Sep-24
7CAD1970.49091990.04931980.270119-Sep-24
8CHF3171.55423202.89033187.222319-Sep-24
9CNY377.9572381.7099379.833619-Sep-24
10CUC111.5462112.6617112.103919-Sep-24
11DEM1072.68861219.33711146.012819-Sep-24
12DKK399.0979403.0649401.081419-Sep-24
13DZD20.298820.417720.358219-Sep-24
14ESP14.207414.332814.270119-Sep-24
15EUR2976.94513006.98492991.96519-Sep-24
16FIM397.5747401.0977399.336219-Sep-24
17FRF360.3738363.5616361.967719-Sep-24
18GBP3537.79943573.44783555.623619-Sep-24
19HKD343.5362346.9493345.242819-Sep-24
20INR31.984632.283232.133919-Sep-24
21IQD2.04522.06252.053819-Sep-24
22IRR0.06370.06440.064119-Sep-24
23ITL1.22081.23171.226319-Sep-24
24JPY18.871519.058918.965219-Sep-24
25KES20.833520.879420.856519-Sep-24
26KRW2.02062.042.030319-Sep-24
27KWD8781.43718866.34318823.890119-Sep-24
28MWK1.43441.54421.489319-Sep-24
29MYR631.0959636.8064633.951219-Sep-24
30MZM41.557141.907641.732419-Sep-24
31NAD152.2728153.6383152.955619-Sep-24
32NGN1.65851.62471.641619-Sep-24
33NLG1072.68861082.20131077.44519-Sep-24
34NOK253.1354255.5966254.36619-Sep-24
35NZD1665.16171682.08371673.622719-Sep-24
36PKR9.14849.71929.433819-Sep-24
37QAR734.4606741.5001737.980319-Sep-24
38RWF1.97732.03712.007219-Sep-24
39SAR713.3441720.4391716.891619-Sep-24
40SDR3618.7273654.91433636.820619-Sep-24
41SEK262.7579265.3438264.050919-Sep-24
42SGD2068.70332089.22892078.966119-Sep-24
43TRY78.507179.272778.889919-Sep-24
44UGX0.69180.72590.708819-Sep-24
45USD2677.10892703.882690.494519-Sep-24
46GOLD6896281.54556966823.96776931552.756619-Sep-24
47ZAR152.2096153.6881152.948819-Sep-24
48ZMK98.5501102.4197100.484919-Sep-24
49ZWD0.5010.51110.50619-Sep-24

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news