Hii ndiyo Dr.Samia Suluhu Hassan Girls Secondary School yenye motto wa Inspire Girls for Change

RUVUMA-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Septemba 27,2024 amezindua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mchepuo wa Sayansi na Sanaa Namtumbo mkoani Ruvuma iliyopewa jina la ya Dr.Samia Suluhu Hassan ambayo ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 4.6.
Shule hii ni miongoni mwa shule 26 za Wasichana za Sayansi za Mikoa zilizojengwa kwenye mikoa yote Tanzania Bara na ikiwa vyumba vya madarasa 22, mabweni 8, nyumba za walimu 3 (2 in 1).
Vilevile, nyumba ya mkuu wa shule, nyumba ya matron, chumba cha TEHAMA, maktaba,jengo la utawala pamoja na uzio upande wa nabweni.

Shule hii ina uwezo wa kuchukua wanafunzi 1,200 na mpaka sasa wanafunzi waliopo ni 548.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news