Maafisa wa DCEA wapewa mafunzo maalum

MOROGORO-Maafisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) wanapata mafunzo maalum ya kimataifa juu ya utoaji wa elimu kuhusu matumizi ya dawa za kulevya.
Mafunzo haya, yanayofadhiliwa na UNODC kwa ushirikiano na Colombo Plan Drug Advisory Programme, yana lengo la kuwajengea uwezo maafisa katika kutumia njia zilizothibitishwa kisayansi katika elimu ya umma.
Hii ni sehemu ya mikakati ya Mamlaka ya kuzuia matumizi na biashara haramu ya dawa za kulevya kupitia elimu sahihi kwa jamii.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news