Nilivyoacha kuvuta sigara baada ya miaka 21

KILIMANJARO-Ukweli ni kwamba waraibu wengi wa uvutaji sigara wanatamani kuondoka katika mtindo huo wa maisha, lakini wanashindwa, sio kazi rahisi hata kidogo, ukiona mtu amefanikiwa ni jambo la kumpongeza sana.
Nasema hivyo, kwa sababu mimi ni mmojawapo wa watu waliopitia changamoto hiyo miaka ya nyuma, nilitamani kuacha, lakini nikashindwa, hadi nikatumia na dawa mbalimbali ila sikufanikiwa.

Jina langu ni Moses kutokea Kilimanjaro, Tanzania, nilianza kuvuta sigara tangu kipindi nipo kidato cha nne, nilikuwa navuta kwa siri bila hata familia yangu kujua.

Nilipomaliza shule nilianza maisha ya kujitegemea, katika gheto langu ndipo uraibu wangu kuvuta sigara ulipoanza hasa, kila siku nililiwa navuta sigara zaidi tano hadi kuna wakati nikawa nasikia kifua kinawaka moto na kuuma.

Maumivu ya kifua kila mara ndio hasa yalipelekea nifikirie kuachana na uvutaji sigara,lakini kila ambapo nilikuwa najaribu nilikuwa nashindwa.

Basi nilianza kutafuta dawa za kuacha sigara sehemu mbalimbali, niliweza kupata za aina kadhaa na kuzinunua na kuzitumia kwa muda mrefu lakini hali ilizidi kuwa mbaya, ningeweza kuacha kama siku mbili lakini ya tatu kiu ya sigara inakuwa ni kubwa sana na kujikuta nimevuta.

Siku moja nikiwa Bar nakunywa huku navuta sigara yangu, mtu mmoja wa karibu yangu aliniambia kuwa akisikia harufu ya Sigara anajisikia vibaya sana ingawa mwanzo naye alikuwa mvutaji.

Aliniambia aliweza kuacha sigara baada ya kupata dawa kutoka kwa Dr Bokko, nilifurahi kusikia habari ile masikioni mwangu wakati ule, nilimuomba namba yake na kunipatia.

Niliweza kuwasiliana naye na alinitumia dawa ambayo ndio iliweza kuniondoa kwenye uvutaji wa baada ya miaka 21.

Huu ni mwaka wa pili sasa sijavuta sigara na kila nikisikia harufu yake najisikia vibaya. Wasiliana na Dr Bokko kwa namba +255618536050 ili kupata huduma yako.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news