Waziri Ridhiwani Kikwete ateta na wakurugenzi, watumishi kutoka Idara ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi ikiwemo Kitengo cha Huduma za Ajira


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wakurugenzi na Watumishi kutoka Idara ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi pamoja Kitengo cha Huduma za Ajira wakati wa Kikao Maalum kilichofanyika leo Septemba 2, 2024 jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wakurugenzi na Watumishi kutoka Idara ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi pamoja Kitengo cha Huduma za Ajira wakati wa Kikao Maalum kilichofanyika leo Septemba 2, 2024, jijini Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi, ,Kissa Kilindu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya idara hiyo wakati wa Kikao Maalum na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Septemba 2, 2024 jijini Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi, ,Kissa Kilindu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya idara hiyo wakati wa Kikao Maalum na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Septemba 2, 2024 jijini Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ajira na Ukuzaji Ujuzi, ,Kissa Kilindu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya idara hiyo wakati wa Kikao Maalum na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Septemba 2, 2024 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Ajira, Joseph Nganga akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Kitengo hicho wakati wa Kikao Maalum na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Septemba 2, 2024 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Ajira, Joseph Nganga akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Kitengo hicho wakati wa Kikao Maalum na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Septemba 2, 2024 jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma za Ajira, Joseph Nganga akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya Kitengo hicho wakati wa Kikao Maalum na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Septemba 2, 2024 jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news