Waziri Ridhiwani Kikwete awapa neno viongozi wa CWT

DODOMA-Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekutana na kuzungumza na Viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), walipomtembelea jijini Dodoma leo Septemba 2, 2024.
Viongozi hao wa CWT walitumia fursa hiyo kujitambulisha na kumpongeza kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhudumu katika wizara hiyo.
Aidha, Mhe. Ridhiwani Kikwete amewataka viongozi hao kuzingatia sheria zilizopo, pamoja na Katiba na kanuni za chama hicho.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news