Dkt.Nchemba ahimiza nishati ya uhakika na salama

WASHINGTON D.C-Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameshiriki mjadala kuhusu kuiwezesha Afrika kuwa na nishati ya uhakika, ulioandaliwa na Taasisi ya Mission 300, Kando ya Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa-IMF na Benki ya Dunia jijini Washington D.C nchini Marekani, na kuzihimiza nchi za Afrika kwa kushirikiana na Taasisi za Fedha Duniani pamoja na Sekta Binafsi, kuhakikisha kuwa zinawekeza kwenye uzalishaji wa nishati ya uhakika na yenye gharama nafuu ili kutimiza malengo ya kujiimarisha kiuchumi, kuchochea uwekezaji, uzalishaji wa bidhaa na huduma na kukuza ajira.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news