Kila mwanaume akitembea na mimi ananiacha!

MBEYA-Jina langu ni Malinda, naishi jijini Mbeya, ni mama wa mtoto mmoja, niliweza kuelewa Machi mwaka jana nikiwa na umri wa miaka 39, jambo ambalo wengi katika jamii yangu hawakutarajia.
Picha na mtandao.

Unajua kwa tamaduni za kiafrika, wanategemea wasichana kuolewa kuanzia miaka 18 hadi 30 kwa wale wanaokuwa wamechelewa sana, ndivyo ilivyokuwa na kwangu.

Kaka zangu wote walikuwa wameoa hadi wadogo zangu wa kiume ambao nimewazidi zaidi ya miaka mitano nao tayari walikuwa wameoa na kuwa na watoto ila mimi dada yao ilikuwa ni bado!.

Baadhi ya watu walianza kuongeza maneno ya chini kwa chini kuwa huwenda mimi nina tatizo bila kujua nilikuwa nakumbana na changamoto gani hasa maishani mwangu.

Ukweli ni kwamba nilitamani ssana kuolewa tangu nikiwa na umri wa miaka 28, lakini tatizo langu kubwa lilikuwa ni kwamba kila nikipata mwanaume, akishatembea na mimi tu, alikuwa ananiacha bila sababu.

Ilifikia hatua ya kusema sitatembea na mwanaume yoyote hadi pale awe amenioa, tatizo ni kwamba kila mwanaume niliyekuwa nampata nikimwambia kuwa tusifanye kitendo hicho hadi ndoa alikuwa anakataa.

Wengine walisema kama nilishawahi kufanya huku nyuma, kwanini sasa nikatae na ukizingatia mimi ni mtu mzima sio mtoto au mwanafunzi, basi waliposikia hivyo walinikimbia.

Muda ulizidi kwenda bila kuolewa, siku moja nilisikia katika redio kuwa Dr Bokko anaweza kumuondolea mtu mikosi katika maisha yake, ndipo nikachukua namba yake na kuwasiliana naye na kumwambia kuhusu changamoto hiyo niliyokuwa napitia.

Alinifanyia tiba zake na kunipa baadhi ya maelekezo na kunihakikishia kuwa kuanzia siku hiyo tatizo hilo litakuwa limeondoka katika maisha yangu.

Basi nilikutana na mwanaume mmoja ambaye ndiye mume wangu wa sasa, tulianzisha mahusiano, licha ya kutembea naye hakuweza kuniacha hadi tukaja kufunga ndoa. Mpigie Dr Bokko kwa namba +255618536050.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news