DAR-Matukio mbalimbali katika picha siku ya nne ya Kongamano la 8 la Mwaka la TEHAMA Tanzania kwa mwaka 2024 (8th Annual Tanzania ICT Conference) linalofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam Oktoba 16, 2024.

Tags
8th Tanzania Annual ICT Conference
Habari
Kongamano la TEHAMA
Picha
Picha Chaguo la Mhariri
Sekta ya TEHAMA Tanzania
Tume ya TEHAMA