Wanafunzi wa TIA Kampasi ya Mbeya wapewa elimu ya utambuzi wa alama za usalama na utunzaji sahihi wa noti na sarafu za BoT

MBEYA-Wanafunzi kutoka Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) Kampasi ya Mbeya, wametembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania kwenye Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa yanayofanyika katika uwanja wa Ruanda Nzovwe jijini Mbeya, kuanzia tarehe 21 hadi 26 Oktoba 2024.
Katika ziara hiyo, wamepata fursa ya kujifunza kwa vitendo kuhusu utambuzi wa alama za usalama katika noti za BoT pamoja na utunzaji sahihi wa noti na sarafu za Tanzania.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news